Jeremiah 6:11


11 aLakini nimejaa ghadhabu ya Bwana,
nami siwezi kuizuia.

“Wamwagie watoto walioko barabarani,
na juu ya vijana waume waliokusanyika;
mume na mke watakumbwa pamoja ndani yake,
hata nao wazee waliolemewa na miaka.
Copyright information for SwhKC